Tuesday, December 27, 2011

GURNET LAUWA WATOTO NCHINI KENYA

Watoto watatu wameuwawa nchini Kenya na lile linaloshukiwa kuwa ni guruneti liloripuka walipokuwa wanalichezea.
Wanajeshi wa Kenya
Polisi katika jimbo la magharibi la Mount Elgon, walisema inaelekea guruneti hilo liliachwa wakati wa mapigano baina ya jeshi na wapiganaji wa eneo hilo, katika mzozo kuhusu ardhi, mwaka wa 2008.
Jeshi lilisema, guruneti hilo siyo la aina wanayo-tumia.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...