Sunday, April 1, 2012

Picha za hali ilivyo USA baada ya matokeo kuanza kutangazwa.

Wakuu nimetoka USA, hali ilivyo ni kuwa vijana wapo eneo la USA karibu kabisa na kituo cha polisi wakishangilia matokeo ya awali. Kiukweli vijana hao ni wengi na bado wanatiririka toka pande mbali mbali kuelekea halmashauri ambapo ndipo matokeo yanategemewa kutolewa.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...