MBOWE, PINDA WACHUANA BUNGENI.
Ni kuhusu mgomo wa madaktari.
Mbowe alitaka kujua atma ya
watanzania juu ya mgomo uliotangazwa kuanza jumaamosi ijayo.
Watanzania sasa matumbo joto juu ya
mgomo huo.
Panda awasihi madaktari, na kusema
ikishindikana serikali itakimbilia mahakamani kutafuta suluhu.
No comments:
Post a Comment