Friday, August 10, 2012

AIRTEL YAFUTURISHA WATEJA WAKE JIJINI DAR

Mkurugenzi  Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sam Elangalloor (wa
pilikushoto) akichukua chakula pamoja na baadhi ya wateja wao wa
makampuni katika hafla ya futari waliyowaandalia katika Hoteli ya
Serena, Dar es Salaam jana.
Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki (kulia)
akimwekea chakula mmoja wa wa teja wao katika hafla ya futari
iliyoandaliwa na Airtel kwa wateja wao wa makampuni katika Hoteli ya
Serena, Dar es Salaam jana.
Baadhi ya wateja wa Airtel wakipakua mlo wa futari katika hafla
hiyo iliyoandaliwa na Airtel katika Hoteli ya Serena, Dar es Salaam
jana.
Ofisa Mauzo wa Wateja Wakubwa wa Airtel Tanzania, Mariam Ikoa
(kushoto) akimkabidhi zawadi Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu
ya Dar es salaam, Suleiman Kova katika hafla ya futari iliyoandaliwa
na Airtel kwa wateja wao wa makampuni katika Hoteli ya Serena, Dar es
Salaam jana. Katikati ni Mkurugenzi wa Matawi na Utawala wa Shirika la
Nyumba (NHC) Raymond Mndolwa na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa
Airtel, Sam Elangallor.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...