Friday, August 3, 2012

HIVI NDIVYO MRISHO NGASSA ALIVYOTUA NA KUPOKELEWA SIMBA

 Karibu Ngassa tufanye kazi, maisha menyewe mafupi mshikaji"Kaseja",Ngassa hakuna shaka nimekaribia swaiba. 
 



 Gari lililombeba Ngassa likiwa limezingirwa na mashabiki leo mchana alipokuwa akiwasili kwenye ofisi za timu ya Simba Msimbazi.


Mtaa wa Msimbazi wakati M.Ngassa alipolakiwa na makumi ya watu leo mchana

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...