Where people with ambitions meet, discuss and plan for the better of their dreams and ambitions.
Thursday, August 2, 2012
DKT.MWAKYEMBE- MARUFUKU KUCHIMBA DAWA BARABARANI
Serikali kupitia waziri wa uchukuzi mheshimiwa harryson mwakyembe ametangaza leo jioni hii kuwa ni marufuku kwa gari yoyote kusimama barabarani na kuwaacha abiria wachimbe dawa(kujisaidia). tangazo hilo linaanza kazi rasmi tarehe moja mwezi wa tisa.
No comments:
Post a Comment