wakati wahanga wa mafuriko wakilalamikia kuchakachuliwa kwa misaada wanayopewa na wadau mbalimbali.
kumetokea mlipuko wa ugonjwa hatari wa kipindupindu katika kambi ya Hananasif wilayani kinondoni ambapo mpaka sasa watu wanne wamethibitishwa kuugua ugonjwa huo mpaka kufikia leo mchana.
source mdau-ADO
No comments:
Post a Comment