POLISI LINDONIPolisi nchini Kenya wamewaachilia huru bila mashtaka washukiwa wawili ambao walikamatwa na kikosi cha kupambana na ugaidi nchini humo. Vita dhidi ya ugaidi nchini Kenya vimekosolewa, huku polisi wakishutumiwa kutokuwa makini katika uchunguzi wao . Msemaji wa polisi nchini Kenya, Eric Kiraithe aliiambia BBC, kwamba bado wako imara katika kupambana na ugaidi licha ya washukiwa hao kuachiliwa huru |
Where people with ambitions meet, discuss and plan for the better of their dreams and ambitions.
Thursday, December 29, 2011
Washukiwa ugaidi waachiliwa Kenya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment