Mkutano Wa CCM Kigoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala
wa Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI,) Aggrey Mwanri akihutubia,
kwenye mkutano wa CCM uliofanyika, jana , Julai 22, 2012, kwenye
Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini Kigoma.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia, kwenye mkutano wa CCM uliofanyika, jana , Julai 22, 2012, kwenye Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini Kigoma. |
Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano,
Steven Wasira akihutubia kwenye mkutano wa CCM uliofanyika, jana ,
Julai 22, 2012, kwenye Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini
Kigoma.
Mamia ya wananchi waliofurika kwenye mkutano
wa CCM katika Uwanja wa Community Centre, Mwanga mkoani Kigoma
Wazee kwenye mkutano wa CCM, Uwanjwa wa
Community Cetre Mwanga Kigoma
Viongozi mbalimbali wa
CCM waliohudhuria katika mkutano huo.
No comments:
Post a Comment