kiungo mchezeshaji wa wabunge wa simba zitto kabwe ambaye pia ni mbunge wa kigoma kaskazini aliyecheza namba nane akipasha misuli moto.
dakika chache kabla ya mechi, mbwa nao walionyesha utaalam wao
kitambi noma jamani daahhhh
tutashinda kweli kwa hali hii?
kikosi cha simba hicho.
wimbo wa taifa hapo.
wimbo wa taifa.
tusichezeane rafu bwana.fair play tu hapa
golikipa wa wabunge wa simba iddi azan akiwa mbele kabla ya kuzikanyaga nyasi.
watazamaji wakipata burudani ya aina yake
Leo ndio leo. mbunge raya ibrahim akisalimiana na mwenzie kabla ya mchezo kuanza
Halima mdee na wabunge wengine wakitazama mchezo kwa makani-BENCHI LA YANGA
mshambuliaji wa wabunge wa yanga mwigulu nchemba akifanya mahojiano baada ya kichapo
tutakiane kila la heri
namna gani pale enka imembana mchezaji wa yanga.
gooooooooo tumeshindaaaa zitto kabwe akishangilia kwa furaha na wenzake baada ya penalti ya mwisho
dogo janja amebebwa juu baada ya kuokoa penalti 3.
Dogo janja na kibajaji kama waanashtua kijoti vile.
ushindi mtamu bwana. we acha tu.
Hapa kiduku kimenoga baada ya ushindi.
No comments:
Post a Comment