Okwi...!
Kuna
taarifa kuwa Emmanuel Okwi amefuzu majaribio yake ya kucheza mpira
katika timu ya FC Red Bull Salzburg ya Austria na inasubiriwa
majadiliano ya uhamisho wake na Klabu yake ya sasa Simba Sports Club.
Bado haijajulikana Simba watavuta dau gani kutokana na kumuuza Okwi
tutakujulisha habari zaidi zikipatikana.
No comments:
Post a Comment