Sunday, December 23, 2012

MWIGULU NCHEMBA AUIBUA UPYA MZIMU WA CHACHA WANGWE.-asema aliuliwa na CHADEMA

Naibu katibu mkuu wa CCM Tanzania bara, mchumi MWIGULU LAMECK NCHEMBA, leo ametoa mashtaka mazito kwa viongozi wakuu wa CHADEMA kuwa ndio waliohusika kumuua marehemu CHACHA WANGWE aliyekuwa makamu mwenyekiti wa chama hicho. Mwigulu aliyasema hayo wakati akijadiliana na baadhi ya watumiaji wa mtandao wa kijamii wa kisasa wa FACEBOOK, mdau wa WAJAMAA alishuhudia comments za mwigulu na hizi hapa jioneeni wenyewe. Mwigulu Nchemba ''Hili la chacha wangwe nina ushahidi viongoz wa cdm wajuu waliniandikia na wakisema nitamfuats chacha wangwe. Iliandikwa kwa mkono wao. La mwakyembe likijulikana aliyesema nitasema. Lakini chadema walimuua chacha wangwe. Viongoz wakuu wa chadema walihusika. Ushahidi ninao'' 4 hours ago via mobile • Akaendelea.. Mwigulu Nchemba Sifa za chadema ukabila, udini, ukanda, kuuwa na kufukuza wenye mawazo tofautu. Walimuua chacha. Wanapeana vyeo kwa undugu na ukanda. Viti maalum lazima uwe ndugu au nyumba ndogo ya kiongozi. Ukibeba mimba na uwwziri kivuli unapata. 4 hours ago via mobile • Like Mwigulu Nchemba Sos nimepeleka ushahidi wote polisi na kwa spika wa bunge na vyombo vya habari. Utawala wa sheria vyombo husika ndivyo vinatakiwa kuchukua hatua zaidi nawe unajua hili. Nilipeleka ujumbe unsonesha wazi viongoz wa chadema walimuua wangwe 3 hours ago via mobile • Like • 1 Mwigulu Nchemba Inaruhusiwa kupaza sauti na kutoa maoni CCM sio kwenye NGO ndg yangu. Kwenye NGO ambazo ni mali za watu na familia zao utauawa tu. Ukipona kufa unafukuzwa. Imetokea kwa chacha wangwe , madiwani na viongoz wa vijana. 4 hours ago via mobile • Like • 1

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...